Nafasi Ya Matangazo

March 31, 2015

Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba(kulia) akielezea jambo kwa wana habari(hawapo pichani) wakati wa kutangaza walioingia katika hatua ya mwisho ya kushindania Tuzo za Filamu Tanzania leo jijini Dar es Salaam katika mkutano na wana habari uliofanyika katika hotel ya New Africa ya jijini Dar es Salaam, kulia kwake ni Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tuzo hizo Caroline Gul na mmoja wa wadhani kutoka International Eye Hospital Dr. Recep Yujel.
Jaji mkuu katika mchakato wa mchujo Issa Mbura kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam akitoa ufafanuzi wa vipengere 11 vilivyoainishwa kushindaniwa.
Afisa Masoko kutoka EATV/EA Radio Happy Shame ambao ni moja ya wadhamini wa tuzo hizi akitoa neno kwa niaba ya wadhamini wa Tuzo za Filamu Tanzania.
Mwakilishi kutoka Push Mobile Bwana Ezekiel akielezea namna ya upigaji kura ili kupata washindi tuzo hizi kubwa nchini.
Posted by MROKI On Tuesday, March 31, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo