Nafasi Ya Matangazo

July 15, 2016

Baraza la mitihani Tanzania NECTA limetangaza matokeo ya kidato cha Sita mwaka huu wa 2016 na wanaume wameongoza kwa wingi katika kumi bora, katibu mtendaji wa NECTA bado anaendelea kuongea mnaweza ona matokeo kwa website yao na ya TAMISEMI,

Ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.93 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo ufaulu ulikuwa 98.87.

Shule 10 zilizofanya vizuri: 
1.Kisimiri, 
2.Feza Boys, 
3.Alliance Girls, 
4.Feza Girls, 
5. Tabora Boys,
6.Marian Boys
7. Kibaha Secondary 

8.Mzumbe Secondary 

9.Ilboru Secondary  10.Tandahimba Secondary

KUANGALIA  MATOKEO YA SHULE ZOTE BOFYA HAPA
Posted by MROKI On Friday, July 15, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo