Nafasi Ya Matangazo

May 27, 2016

IMGS2383
Wasanii wa kundi la NIMUJO Edutaiment wakicheza ngoma za makabila mbalimbali wakati wa hafla hiyo.

Kampuni ya MultiChoice Tanzania wasambazaji wa bidhaa za DStv nchini usiku wa Mei 26 wameweza kujumuika kwa pamoja katika kusheherekea siku ya Afrika kwa kukutana na wadau wake Jijini Dar es Salaam na kufurahia paamoja fahari ya Afrika.

Wadau hao ni pamoja na wanahabari, Waendesha vipindi vya televisheni na radio, wasanii na baadhi ya wateja ambao walijumuika kwa pamoja usiku maalum ambao pia walipata kula na kunywa pamoja na kubadilishana mwazo.

Awali wakati wa ufunguzi wa hafla hiyo maalum, Meneja Uhusiano na Masoko wa MultiAChoice Tanzania, Bi. Furaha Samalu alieleza kuwa, MultiChoice wanajisikia fahari katika ushiriki wao wa kuleta mabadiliko na maendeleo tangu kuanzishwa hapa Barani Afrika miaka 20 iliyopit huku ldngo kuu ni kuwa na maudhui ya kila siku ya kiafrika.

Aidha, Bi. Furaha Sumalu alibainisha kuwa, kwa kuthamini Afrika, hata chaneli wameweka zinazolenga Afrika zikiwemo: Africa Magic, Maisha Magic Bongo, Maisha Magic East ambapo ndani ya chaneli hizo zimekuwa na mtazamo tofauti kuhusu Afrika hivyo watanzania na waafrika kwa ujumla ni wakati wa kuchangamkia bidhaa bora za DSTV ilikufurahia uhondo huo wa Kiafrika na mambo mbalimbali yanayotokea ndani ya Afrika nan je ya Afrika.
Tazama MO tv, kuona tukio hilo hapa:  

DSC_4291
Meneja wa Fedha wa kampuni ya Multichoice Tanzania, Bw. Francis Senguji akiwa katika pozi wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4286
Meneja Mauzo wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania, Salum Salum akiwa katika pozi wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4283Mchora vibonzo, Bwana Masoud Kipanya akiwa katika pozi wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4707
Msanii wa muziki bongo fleva Queen Darleen ambaye ni ndugu na msanii wa muziki 'Diamond Platnumz' akiwa katika pozi na mmoja wa mashabiki wake wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4352
Mdau na Mwanahabari Sylvester akipata picha kwenye red Carpet akiwa katika pozi wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4705
Msanii wa muziki bongo fleva Queen Darleen ambaye ni ndugu na msanii wa muziki 'Diamond Platnumz' akiwa katika pozi na Mwandishi Mwandamizi wa mtandao wa Modewjiblog, Bwana Andrew Chale wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4309
Mshiriki wa Tanzania kwenye Shindano la Big Brother III, Latoya Lyakurya, akiwa katika pozi wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4336
Levina Bandihai wa Multichoice Tanzania akiwa katika pozi wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam
DSC_4300 DSC_4322
Msanii JB akiwa katika pozi kwenye red Carpet..
DSC_4273 DSC_4311 DSC_4274 DSC_4323
Meneja Uhusiano na Masoko wa MultiChoice Tanzania, Bi. Furaha Samalu akifanya mahojiano na wanahabari wakati wa tukio hilo
DSC_4356
Wadau na staff wa DSTV wakiwa katika pozi.
DSC_4369 DSC_4276 DSC_4316
kikundi cha ngoma cha NIMUJO Edutaiment wakifanya mambo yao katika usiku huo wa Afrika uliondaliwa na DSTV
DSC_4318 DSC_4359 DSC_4368
Msanii Uwoya (kulia) akiwa katika red carpet..
DSC_4377
Wadau wa DSTV, wakifuatilia tukio hilo
DSC_4424 DSC_4415
Burudani za ngoma zikiendelea
DSC_4382 DSC_4413 DSC_4403
Baadhi ya watendaji wakuu wa DSTV wakitambulishwa
DSC_4273
Social Media Administrator wa MultiChoice (DStv) Tanzania, Shumbana Walwa akiwa katika pozi wakati wa hafla hiyo ya siku ya Afrika ambapo wadau mbalimbali walijumuika kwa pamoja kusheherekea siku hiyo iliyofanyika usiku wa Mei 27. Jijini Dar es Salaam. (Picha na Modewjiblog)
DSC_4414 DSC_4415 DSC_4327 DSC_4355 IMGS2383 DSC_4464
Muda wa 'msosi' ulikuwa kama hivyo pichani.
DSC_4454 DSC_4470 DSC_4485 DSC_4479 DSC_4490 DSC_4482 DSC_4464
DSC_4515
Burudani zilipamba moto zaidi..DSC_4524 DSC_4535
Msanii Shilole 'Shishi bebi' akitangaza bahati nasibu ya mshindi w dikoda ya DSTV Exp
DSC_4551
Mshiriki wa Tanzania kwenye Shindano la Big Brother III, Latoya Lyakurya, akipokea zawadi ya dikoda ya DSTV
DSC_4564
Msanii Richie Richie akimtangaza mshindi wa DSTV
DSC_4568
Mwanablog ya Fullshangwe, John Bukuku akishangilia baada ya kutangaza kushinda zawadi ya dikoda ya DSTV
DSC_4576
Mwanablog ya Fullshangwe, John Bukuku akipokea dikoda yake
DSC_4585
Mke wa msanii Sheta, Leila Yusuph 'Mama Quila' akisoma jina la mshindi
DSC_4602 DSC_4612
Mmiliki wa mtandao wa Wananchi, Bw. William Malecela 'Lemutuz' akitangaza jina la mshindi
DSC_4621 DSC_4629
DSC_4638
Meneja Uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Baraka Shelukindo akikabidhi zawadi
DSC_4650
Baadhi ya staff wa DSTVDSC_4664
Othuman Michuzi wa blog ya Mtaa kwa Mtaa akipokea zawadi yake wakati wa hafla hiyo ya usiku wa Afrika na DSTV.
DSC_4671 DSC_4675 DSC_4689
Wadau wakisakata rhumba. (Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog).
Posted by MROKI On Friday, May 27, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo