Nafasi Ya Matangazo

April 29, 2016

MKUU wa Wilaya ya Newala, mkoani Mtwara, Christopher Magala akizungumza wakati wa kuhitisha mafunzo ya utekelezaji wa Mradi wa Usimamizi wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) yanayofadhiliwa na Shirika la Kimataifa la Misaada la Marekani (USAID) na kutekelezwa katika Halmashauri 97 katika mikoa 13 nchini. Uzinduzi wa mradi wa PS3 ngazi ya mkloa wa Mtwara ilifanyika juzi mjini humo.

Mkoani Mtwara mradi huo utatekelezwa kwa awamu mbili ambapo awamu ya kwanza itahusisha Halamshauri ya Nanyamba na Halmashauri ya Wilaya Masasi.

Awamu ya pili ambayo itatekelezwa mkoani mtwara kwa halamashauri saba zilizobaki utafanyika mwezi Februari na Oktoba mwaka 2017 na utahusisha Halmashauri za Mjiwa Newala, Wilayaya Newala, Mji wa Masasi, Wilaya ya Nanyumbu, Manispaa ya Mtwara, Wilaya ya Mtwara na Wilaya yaTandahimba.

 Baadhi ya Maofisa wa Mradi wa PS3 pamoja na wakurugenzi wa Halmashauri za Wilaya Mkoani Mtwara wakifuatilia ufungaji wa mafunzo hayo.
 Washiriki wakifuatilia mada mbalimbali katika mafunzo hayo.
 Mshauri wa Mradi katika Masuala ya Rasilimali Fedha, Dk Daniel Ngowi akizungumza wakati wa mafunzo hayo.
 Mshauri wa Mradi katika Masuala ya Elimu, Dk Rest Laswai akifafanua jambo juu ya uimarishaji mifumo ya sekta za Umma katika nyanja ya elimu.
 Washiriki akifuatilia mada katika mafunzo hayo.BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI.
Wakuu wa Wilaya mbalimbali za Mkoa wa Mtwara wakifuatilia mada katika mafunzo hayo. 
  
  Maafisa wa Mradi wa PS3  Godfrey Nyombi (kulia) na Rahma Musoke  wakifuatilia kwa makini mawasilisho ya vikundi.
 Mtaalam wa Fedha wa Mradi wa PS3, Abdul Kitula akifafanua jambo katika moja ya vikundi vilivyokuwa katika majadiliano.
 Dk Rest Laswai (kushoto) akisimamia majadiliano ya moja ya vikundi.
 
Makundi mbalimbali yakishiriki katika majadiliano na baade kuwasilisha taarifa za mijadala yao.

Washiriki wakiwa katika mafunzo hayo.
Posted by MROKI On Friday, April 29, 2016 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo