Nafasi Ya Matangazo

February 27, 2015

 Moto mkubwa ukiwaka baada ya Ndege Vita ya Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) kuanguka katika uwanja wa jeshi Mwanza baada ya kupata hitilafu.

Rubani wa ndgevita hiyo Meja Peter Lyamunda  alipoona ndege yake inawaka moto alifanikiwa kujirusha nje ya ndege hiyo kwa kutumia vifaa maalum na kufanikiwa kuokoa maisha yake ingawa amepata majeraha katika mguu wakati wa kujiokoa.
 Ndege hiyo kabla ya kuruka.
 Maofisa wa JWTZ wakiwa eneo la ajali hiyo.
Mabaki ya ndege hiyo baada ya moto kuzimwa. Rubani wa Ndege hiyo
Posted by MROKI On Friday, February 27, 2015 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo