Nafasi Ya Matangazo

September 01, 2014

Waimbaji wanaounda kundi la “Yamoto Band”Aslay, Becka, Bella na Maromboso wakitoa burudani wakati wa uzinduzi wa video yao ya mkubwa na wanawe,uzinduzi huo uliofanyika katika ukumbi wa New Maisha Club jana usiku udhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Mwimbaji mahiri wa kundi la”Yamoto band” Aslay akikonga nyoyo za wapenzi wake waliofurika katika ukumbi wa New Maisha Club oysterbay jijini Dar es Salaam, wakati wa uzinduzi wa video yao ya mkubwa na wanawe ,uliofanyika jana usiku na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania.
Posted by MROKI On Monday, September 01, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo