Nafasi Ya Matangazo

August 21, 2014

 Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akifungua semina ya Wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki
na Kusini mwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam.
 Rais na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) Admassu Tadesse akitoa maelezo ya jumla juu ya utendaji kazi benki ya hiyo leo jijini Dar es salaam wakati wa semina ya wafanyabiashara na benki hiyo.
 Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile akifunga semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki
na Kusini mwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam ambapo amesistiza kuwa Wafanyabishara nchini watumie fursa ya semina hiyo ili waweze kuandaa mikakati ya kibiashara ya muda mrefu, wa kati na muda mfupi waweze kujiletea maendeleo yao na nchi kwa ujumla.
 Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kushoto) akiteta jambo na Rais na Mtendaji Mkuu wa benki ya Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki  na Kusini mwa Afrika (PTA) Admassu Tadesse (kulia) wakati wa semina ya  wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya PTA leo jijini Dar es salaam.
 Baadhi ya Maafisa wa Serikali na wafanyabiashara wakiwa kwenye semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam.
 Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba (kulia) akibadilishana mawazo na Rais na Mtendaji Mkuu wa benki ya Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki
na Kusini mwa Afrika (PTA) Admassu Tadesse (katikati) mara baada ya ufunguzi wa semina ya wafanyabiashara leo jijini Dar es salaam. Wa kwanza kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile.
Baadhi ya Maafisa wa Serikali na wafanyabiashara wakiwa kwenye semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam.
Posted by MROKI On Thursday, August 21, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo